4 Kwa hiyo nitaishushia moto nyumba ya Hazaeli,+
Nao utateketeza kabisa minara ya Ben-hadadi yenye ngome.+
5 Nitavunja makomeo ya Damasko;+
Nitawaangamiza wakaaji wa Bikath-aveni
Na yule anayetawala Beth-edeni;
Na watu wa Siria watapelekwa uhamishoni kule Kiri,”+ asema Yehova.’