Yeremia 49:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kuhusu Damasko:+ “Hamathi+ na Arpadi wameaibishwa,Kwa maana wamesikia habari mbaya. Wanayeyuka kwa woga. Kuna msukosuko baharini ambao hauwezi kutulizwa. Zekaria 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tangazo: “Neno la Yehova liko dhidi ya nchi ya Hadraki,Nalo linalenga* Damasko+—Kwa maana macho ya Yehova yanawaangalia wanadamu+Na makabila yote ya Israeli—
23 Kuhusu Damasko:+ “Hamathi+ na Arpadi wameaibishwa,Kwa maana wamesikia habari mbaya. Wanayeyuka kwa woga. Kuna msukosuko baharini ambao hauwezi kutulizwa.
9 Tangazo: “Neno la Yehova liko dhidi ya nchi ya Hadraki,Nalo linalenga* Damasko+—Kwa maana macho ya Yehova yanawaangalia wanadamu+Na makabila yote ya Israeli—