Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi wakaenda na kuipeleleza nchi kuanzia nyika ya Zini+ hadi Rehobu+ mpaka Lebo-hamathi.*+

  • 2 Wafalme 17:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kisha mfalme wa Ashuru akawaleta watu kutoka Babiloni, Kutha, Ava, Hamathi, na Sefarvaimu+ na kuwaweka katika majiji ya Samaria ili waishi humo badala ya Waisraeli; nao wakamiliki Samaria na kuishi katika majiji yake.

  • Zekaria 9:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Tangazo:

      “Neno la Yehova liko dhidi ya nchi ya Hadraki,

      Nalo linalenga* Damasko+

      —Kwa maana macho ya Yehova yanawaangalia wanadamu+

      Na makabila yote ya Israeli—

       2 Na dhidi ya Hamathi,+ inayopakana nayo,

      Na dhidi ya majiji ya Tiro+ na Sidoni,+ kwa maana yana hekima nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki