“Neno la Yehova liko dhidi ya nchi ya Hadraki,
Nalo linalenga Damasko+
—Kwa maana macho ya Yehova yanawaangalia wanadamu+
Na makabila yote ya Israeli—
2 Na dhidi ya Hamathi,+ inayopakana nayo,
Na dhidi ya majiji ya Tiro+ na Sidoni,+ kwa maana yana hekima nyingi.+