Yeremia 49:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Nitauwasha moto ukuta wa Damasko,Nao utaiteketeza kabisa minara yenye ngome ya Ben-hadadi.”+ Amosi 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Yehova anasema hivi: ‘“Kwa sababu ya maasi matatu* ya Damasko, na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu walipura Gileadi kwa vifaa vya chuma vya kupuria.+
3 “Yehova anasema hivi: ‘“Kwa sababu ya maasi matatu* ya Damasko, na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,Kwa sababu walipura Gileadi kwa vifaa vya chuma vya kupuria.+