Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hazaeli akamuuliza: “Bwana wangu, kwa nini unalia?” Akamjibu: “Kwa sababu ninajua madhara utakayowatendea Waisraeli.+ Utateketeza ngome zao, utawaua kwa upanga wanaume wao mashujaa, utawapondaponda watoto wao, na kuwapasua tumbo wanawake wao wenye mimba.”+

  • 2 Wafalme 10:32, 33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Siku hizo Yehova alianza kupunguza* eneo la Israeli, eneo moja baada ya lingine. Hazaeli akaendelea kuwashambulia kotekote katika eneo la Israeli,+ 33 kuanzia Yordani kuelekea mashariki, nchi yote ya Gileadi—ya watu wa kabila la Gadi, Rubeni, na Manase+—kutoka Aroeri, jiji lililo kando ya Bonde la Arnoni,* mpaka Gileadi na Bashani.+

  • 2 Wafalme 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Yehoahazi akabaki tu na jeshi lenye wapanda farasi 50, magari 10 ya vita, na wanajeshi 10,000 wanaotembea kwa miguu kwa sababu mfalme wa Siria alikuwa amewaangamiza,+ aliwakanyaga-kanyaga kama mavumbi wakati wa kupura.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki