17 Wakati huo ndipo Hazaeli+ mfalme wa Siria alipanda kwenda kupigana na jiji la Gathi,+ naye akaliteka, kisha akaamua kulishambulia* jiji la Yerusalemu.+
3 Kwa hiyo hasira ya Yehova+ ikawaka dhidi ya Waisraeli,+ akawatia mikononi mwa Mfalme Hazaeli+ wa Siria na mikononi mwa Ben-hadadi+ mwana wa Hazaeli siku zao zote.