Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 10:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Siku hizo Yehova alianza kupunguza* eneo la Israeli, eneo moja baada ya lingine. Hazaeli akaendelea kuwashambulia kotekote katika eneo la Israeli,+

  • 2 Wafalme 12:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wakati huo ndipo Hazaeli+ mfalme wa Siria alipanda kwenda kupigana na jiji la Gathi,+ naye akaliteka, kisha akaamua kulishambulia* jiji la Yerusalemu.+

  • 2 Wafalme 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa hiyo hasira ya Yehova+ ikawaka dhidi ya Waisraeli,+ akawatia mikononi mwa Mfalme Hazaeli+ wa Siria na mikononi mwa Ben-hadadi+ mwana wa Hazaeli siku zao zote.

  • Amosi 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 “Yehova anasema hivi:

      ‘“Kwa sababu ya maasi matatu* ya Damasko, na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,

      Kwa sababu walipura Gileadi kwa vifaa vya chuma vya kupuria.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki