Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 14:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na wakati wa usiku akagawa vikosi vyake,+ yeye na watumwa wake, kupigana nao, basi akawashinda na kuendelea kuwafuata mpaka Hoba, upande wa kaskazini wa Damasko.

  • 1 Wafalme 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sasa Yehova akamwambia: “Nenda, rudi katika nyika ya Damasko;+ nawe uingie na kumtia mafuta+ Hazaeli+ kuwa mfalme juu ya Siria.

  • 1 Wafalme 20:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Sasa Ben-hadadi akamwambia: “Majiji+ ambayo baba yangu aliyachukua kutoka kwa baba yako nitayarudisha; nawe utajipa barabara katika Damasko kama vile baba yangu alivyojipa katika Samaria.”

      “Nami nitakuacha uende zako kwa agano.”+

      Kwa hiyo akafanya agano naye na kumwacha aende zake.

  • Isaya 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana kichwa cha Siria ni Damasko, na kichwa cha Damasko ni Resini; na katika muda wa miaka 65 tu Efraimu itavunjwa vipande-vipande ili isiwe kikundi cha watu.+

  • Matendo 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 na kumwomba barua za kwenda kwenye masinagogi katika Damasko, ili apate kuwaleta Yerusalemu wakiwa wamefungwa wowote ambao angewapata walio wa Ile Njia,+ wanaume na wanawake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki