20 Basi Ben-hadadi akamsikiliza Mfalme Asa, akatuma wakuu wake wa majeshi kushambulia majiji ya Israeli, wakapiga Iyoni+ na Dani+ na Abel-beth-maaka+ na Kinerethi yote, na hata nchi yote ya Naftali.+
4 Basi Ben-hadadi akamsikiliza Mfalme Asa, akatuma wakuu wake wa majeshi kushambulia majiji ya Israeli, hivi kwamba wakapiga Iyoni+ na Dani+ na Abel-maimu+ na mahali pote penye maghala+ pa majiji ya Naftali.+