Mwanzo 32:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye Yakobo akaogopa sana, akaanza kuhangaika.+ Kwa hiyo akawagawanya watu waliokuwa pamoja naye kuwa kambi mbili, na makundi na ng’ombe na ngamia,+ Waamuzi 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo akagawanya wale watu mia tatu katika vikosi vitatu na kuwapa wote mkononi baragumu+ na mitungi mikubwa mitupu, na mienge ndani ya mitungi hiyo mikubwa.
7 Naye Yakobo akaogopa sana, akaanza kuhangaika.+ Kwa hiyo akawagawanya watu waliokuwa pamoja naye kuwa kambi mbili, na makundi na ng’ombe na ngamia,+
16 Ndipo akagawanya wale watu mia tatu katika vikosi vitatu na kuwapa wote mkononi baragumu+ na mitungi mikubwa mitupu, na mienge ndani ya mitungi hiyo mikubwa.