41 Hata hivyo, Esau akaweka uadui kumwelekea Yakobo kwa sababu ya baraka ambayo baba yake alikuwa amembarikia,+ na Esau akaendelea kusema moyoni mwake:+ “Siku za kipindi cha kuomboleza baba yangu zinakaribia.+ Baada ya hizo nitamuua Yakobo ndugu yangu.”+
11 Nakuomba,+ unikomboe kutoka katika mkono wa ndugu yangu, kutoka katika mkono wa Esau, kwa sababu mimi ninaogopa kwamba huenda akaja na kunishambulia,+ mama pamoja na watoto.