Mwanzo 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Baada ya hayo Kaini akamwambia Abeli ndugu yake: “Twende shambani.” Basi ikawa kwamba walipokuwa shambani Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.+ 1 Yohana 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kila mtu anayemchukia+ ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji+ aliye na uzima wa milele ukikaa ndani yake.+
8 Baada ya hayo Kaini akamwambia Abeli ndugu yake: “Twende shambani.” Basi ikawa kwamba walipokuwa shambani Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.+
15 Kila mtu anayemchukia+ ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji+ aliye na uzima wa milele ukikaa ndani yake.+