9 Ndipo mfalme wa Ashuru akamsikiliza na mfalme wa Ashuru akaenda Damasko+ na kuliteka,+ akapeleka watu wake uhamishoni kule Kiri,+ naye akamuua Rezini.+
7 “ ‘Je, ninyi si kama wana wa Wakushi kwangu, enyi wana wa Israeli?’ asema Yehova. ‘Je, sikuleta Israeli kutoka nchi ya Misri,+ na Wafilisti+ kutoka Krete, na Siria kutoka Kiri?’+