9 Ndipo mfalme wa Ashuru akamsikiliza na mfalme wa Ashuru akaenda Damasko+ na kuliteka,+ akapeleka watu wake uhamishoni kule Kiri,+ naye akamuua Rezini.+
5 Nami nitavunja pingo la Damasko+ na kumkatilia mbali mkaaji kutoka Bikath-aveni, na anayeshika fimbo ya enzi kutoka Beth-edeni; na watu wa Siria wataenda Kiri+ wakiwa wahamishwa,” Yehova amesema.’