Mwanzo 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Wana wa Shemu walikuwa Elamu+ na Asihuru+ na Arpakshadi+ na Ludi na Aramu. Isaya 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kuna maono magumu+ ambayo nimeambiwa: Mwenye kutenda kwa hila anatenda kwa hila, na mporaji anapora.+ Nenda juu, Ee Elamu! Zingira, Ee Umedi!+ Nimekomesha kuugua kote kunakosababishwa naye.+
2 Kuna maono magumu+ ambayo nimeambiwa: Mwenye kutenda kwa hila anatenda kwa hila, na mporaji anapora.+ Nenda juu, Ee Elamu! Zingira, Ee Umedi!+ Nimekomesha kuugua kote kunakosababishwa naye.+