Kutoka 12:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Na ikawa siku hiyo hiyo kwamba Yehova akawatoa wana wa Israeli pamoja na majeshi+ yao kutoka katika nchi ya Misri. Hosea 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Yehova kupitia nabii akaleta Israeli kutoka Misri,+ naye akalindwa kupitia nabii.+ Amosi 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami mwenyewe niliwatoa ninyi kutoka nchi ya Misri,+ nami nikaendelea kuwatembeza kupitia nyikani miaka 40,+ ili mwimiliki nchi ya Mwamori.+
51 Na ikawa siku hiyo hiyo kwamba Yehova akawatoa wana wa Israeli pamoja na majeshi+ yao kutoka katika nchi ya Misri.
10 Nami mwenyewe niliwatoa ninyi kutoka nchi ya Misri,+ nami nikaendelea kuwatembeza kupitia nyikani miaka 40,+ ili mwimiliki nchi ya Mwamori.+