17 Kwa maana Yehova Mungu wetu ndiye aliyetuleta sisi na mababu zetu kutoka katika nchi ya Misri,+ kutoka katika nyumba ya watumwa,+ na ambaye alifanya ishara hizi kubwa mbele ya macho yetu,+ akaendelea kutulinda katika njia yote ambayo tulitembea na kati ya watu wote ambao tulipita katikati yao.+