Kutoka 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ‘Ninyi wenyewe mmeona niliyowatendea Wamisri,+ ili nipate kuwachukua ninyi juu ya mabawa ya tai na kuwaleta kwangu.+ Kumbukumbu la Torati 32:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndivyo Yehova peke yake alivyoendelea kumwongoza,+Na hapakuwa na mungu yeyote wa kigeni pamoja naye.+ Amosi 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami mwenyewe niliwatoa ninyi kutoka nchi ya Misri,+ nami nikaendelea kuwatembeza kupitia nyikani miaka 40,+ ili mwimiliki nchi ya Mwamori.+
4 ‘Ninyi wenyewe mmeona niliyowatendea Wamisri,+ ili nipate kuwachukua ninyi juu ya mabawa ya tai na kuwaleta kwangu.+
12 Ndivyo Yehova peke yake alivyoendelea kumwongoza,+Na hapakuwa na mungu yeyote wa kigeni pamoja naye.+
10 Nami mwenyewe niliwatoa ninyi kutoka nchi ya Misri,+ nami nikaendelea kuwatembeza kupitia nyikani miaka 40,+ ili mwimiliki nchi ya Mwamori.+