34 Kwa hesabu ya siku mlizoipeleleza nchi hiyo, siku 40,+ siku moja kwa mwaka mmoja, siku moja kwa mwaka mmoja,+ mtajibu kwa sababu ya makosa yenu miaka 40,+ kwa maana lazima mjue maana ya mimi kutenganishwa nanyi.+
7 Kwa maana Yehova Mungu wako amekubariki wewe katika kila tendo la mkono wako.+ Anajua vema juu ya kutembea kwako katika nyika hii kuu. Miaka hii 40+ Yehova Mungu wako amekuwa pamoja nawe. Hukukosa kitu chochote.”’+
42 Kwa hiyo Mungu akageuka na kuwakabidhi+ watoe utumishi mtakatifu kwa jeshi la mbinguni, kama vile ambavyo imeandikwa katika kitabu cha manabii,+ ‘Je, mimi ndiye mliyetolea wanyama na dhabihu nyikani kwa miaka 40, Ee nyumba ya Israeli?+