Mwanzo 46:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Tena, wakachukua mifugo yao na mali zao, walizokuwa wamekusanya katika nchi ya Kanaani.+ Mwishowe wakafika Misri, Yakobo na uzao wake wote pamoja naye. Hesabu 20:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na baba zetu walishuka Misri,+ nasi tukaendelea kukaa Misri siku nyingi;+ nao Wamisri wakaanza kutudhuru sisi na baba zetu.+ Matendo 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yakobo akashuka kuingia Misri.+ Naye akafa;+ na pia mababu zetu,+
6 Tena, wakachukua mifugo yao na mali zao, walizokuwa wamekusanya katika nchi ya Kanaani.+ Mwishowe wakafika Misri, Yakobo na uzao wake wote pamoja naye.
15 Na baba zetu walishuka Misri,+ nasi tukaendelea kukaa Misri siku nyingi;+ nao Wamisri wakaanza kutudhuru sisi na baba zetu.+