Waamuzi 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hivyo Midiani+ wakatiishwa mbele ya wana wa Israeli, nao hawakuinua kichwa chao tena; na nchi haikuwa na usumbufu wowote tena kwa miaka 40 katika siku za Gideoni.+ Isaya 37:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juu yake?Nawe umepaaza sauti+ yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+
28 Hivyo Midiani+ wakatiishwa mbele ya wana wa Israeli, nao hawakuinua kichwa chao tena; na nchi haikuwa na usumbufu wowote tena kwa miaka 40 katika siku za Gideoni.+
23 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juu yake?Nawe umepaaza sauti+ yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+