Zaburi 75:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana kuna kikombe mkononi mwa Yehova,+Kimejaa mchanganyiko, nayo divai inatoa povu.Na hakika kutoka hicho yeye atayamwaga machicha yake;Waovu wote wa dunia watayakamua, na kunywa.”+ Yeremia 25:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli ameniambia hivi: “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, nawe ukinyweshe+ mataifa yote ambayo ninakutuma kwao.
8 Kwa maana kuna kikombe mkononi mwa Yehova,+Kimejaa mchanganyiko, nayo divai inatoa povu.Na hakika kutoka hicho yeye atayamwaga machicha yake;Waovu wote wa dunia watayakamua, na kunywa.”+
15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli ameniambia hivi: “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, nawe ukinyweshe+ mataifa yote ambayo ninakutuma kwao.