15Tangazo juu ya Moabu:+ Kwa sababu limeporwa wakati wa usiku, Ari+ la Moabu limenyamazishwa. Kwa sababu limeporwa wakati wa usiku, Kiri+ la Moabu limenyamazishwa.
48Kuhusu Moabu,+ Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi:+ “Ole wake Nebo,+ kwa maana ameporwa! Kiriathaimu+ ameona aibu, ametekwa. Kilele kilicho salama kimeona aibu na kutiwa hofu.+
2“Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya Moabu,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa kuwa aliteketeza mifupa ya mfalme wa Edomu ili kupata chokaa.+