6 Naye akatoka kwenda kupigana na Wafilisti,+ akapenya ukuta wa Gathi+ na ukuta wa Yabne+ na ukuta wa Ashdodi,+ kisha akajenga majiji katika eneo la Ashdodi+ na katikati ya Wafilisti.
20 na jamii yote iliyochangamana, na wafalme wote wa nchi ya Usi,+ na wafalme wote wa nchi ya Wafilisti+ na Ashkeloni+ na Gaza+ na Ekroni+ na mabaki ya Ashdodi;+
40 Lakini Filipo akaonekana Ashdodi, naye akaenda akipita katika eneo hilo na kuendelea kuyatangazia+ majiji yote habari njema mpaka alipofika Kaisaria.+