17 Basi hizi ndizo bawasiri za dhahabu ambazo Wafilisti walirudisha kuwa toleo la hatia kwa Yehova:+ kwa ajili ya Ashdodi+ moja, kwa ajili ya Gaza+ moja, kwa ajili ya Ashkeloni+ moja, kwa ajili ya Gathi+ moja, kwa ajili ya Ekroni+ moja.
40 Lakini Filipo akaonekana Ashdodi, naye akaenda akipita katika eneo hilo na kuendelea kuyatangazia+ majiji yote habari njema mpaka alipofika Kaisaria.+