Isaya 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na majivuno ya mtu wa udongo yatainama, na kiburi cha wanadamu kitashushwa;+ na Yehova peke yake atainuliwa juu katika siku hiyo.+ Danieli 4:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Basi mimi, Nebukadneza, namsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu wale wanaotembea kwa kiburi yeye anaweza kuwafedhehesha.”+
17 Na majivuno ya mtu wa udongo yatainama, na kiburi cha wanadamu kitashushwa;+ na Yehova peke yake atainuliwa juu katika siku hiyo.+
37 “Basi mimi, Nebukadneza, namsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu wale wanaotembea kwa kiburi yeye anaweza kuwafedhehesha.”+