11 Nami hakika nitaleta ubaya wake juu ya nchi yenye kuzaa,+ na kosa lao wenyewe juu ya waovu. Nami kwa kweli nitakifanya kiburi cha wenye kimbelembele kikome, na majivuno ya waonevu nitayashusha.+
29 “Tumesikia habari za kiburi cha Moabu+—ana majivuno sana—habari za ustahiki wake na za kiburi chake na za majivuno yake na za kuinuka kwa moyo wake.”+
5 Kwa wingi wa hekima yako,+ kwa mali zako za mauzo,+ umefanya utajiri wako uwe mwingi,+ nao moyo wako ukaanza kuwa na majivuno kwa sababu ya utajiri wako.” ’+