Isaya 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na mbegu ya Shihori+ imekuwa juu ya maji mengi, mavuno ya Nile, mapato yake; nayo yakaja kuwa faida ya mataifa.+ Ezekieli 27:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “ ‘ “Tarshishi+ alikuwa mwanabiashara wako kwa sababu ya wingi wa namna zote za vitu vyenye thamani.+ Kwa ajili ya fedha yake, chuma, bati na risasi, maghala yake yalitolewa.+
3 Na mbegu ya Shihori+ imekuwa juu ya maji mengi, mavuno ya Nile, mapato yake; nayo yakaja kuwa faida ya mataifa.+
12 “ ‘ “Tarshishi+ alikuwa mwanabiashara wako kwa sababu ya wingi wa namna zote za vitu vyenye thamani.+ Kwa ajili ya fedha yake, chuma, bati na risasi, maghala yake yalitolewa.+