Ezekieli 27:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Maghala+ yako yalipotoka katika bahari kuu,+ uliwashibisha watu wengi.+ Kwa wingi wa vitu vyako vyenye thamani na vitu vyako vya biashara uliwatajirisha wafalme wa dunia.+ Ezekieli 28:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hekima yako na kwa utambuzi wako umejipatia mali, nawe unaendelea kupata dhahabu na fedha katika maghala yako.+ Yoeli 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa sababu ninyi mmechukua fedha yangu mwenyewe na dhahabu yangu,+ nanyi mmeleta vitu vyangu vilivyo vyema katika mahekalu yenu;+
33 Maghala+ yako yalipotoka katika bahari kuu,+ uliwashibisha watu wengi.+ Kwa wingi wa vitu vyako vyenye thamani na vitu vyako vya biashara uliwatajirisha wafalme wa dunia.+
4 Kwa hekima yako na kwa utambuzi wako umejipatia mali, nawe unaendelea kupata dhahabu na fedha katika maghala yako.+
5 Kwa sababu ninyi mmechukua fedha yangu mwenyewe na dhahabu yangu,+ nanyi mmeleta vitu vyangu vilivyo vyema katika mahekalu yenu;+