Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 137:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ee binti Babiloni, ambaye utaporwa,+

      Atakuwa ni mwenye furaha yeye atakayekupa thawabu+

      Ya matendo yako mwenyewe ambayo ulitutendea.+

  • Isaya 24:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndiyo sababu laana imeila nchi,+ na wakaaji wake wamehesabiwa hatia. Ndiyo sababu wakaaji wa nchi wamepungua hesabu, na wanadamu wanaoweza kufa walio wachache sana ndio wamebaki.+

  • Yeremia 51:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Na Babiloni atakuwa marundo ya mawe,+ pango la mbwa-mwitu,+ kitu cha kushangaza na kitu cha kupigiwa mluzi, bila mkaaji.+

  • Ufunuo 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akapaaza kilio kwa sauti yenye nguvu,+ akisema: “Ameanguka! Babiloni Mkubwa ameanguka,+ naye amekuwa makao ya roho waovu na mahali pa kuvizia pa kila pumzi+ chafu na mahali pa kuvizia pa kila ndege mchafu na mwenye kuchukiwa!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki