Kumbukumbu la Torati 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mwana-haramu+ yeyote asiingie katika kutaniko la Yehova. Hata kufikia kizazi cha kumi mtu yeyote wake asiingie katika kutaniko la Yehova. Waebrania 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ikiwa ninyi hamna nidhamu ambayo wote wameishiriki, kwa kweli ninyi ni watoto haramu,+ wala si wana.
2 “Mwana-haramu+ yeyote asiingie katika kutaniko la Yehova. Hata kufikia kizazi cha kumi mtu yeyote wake asiingie katika kutaniko la Yehova.
8 Lakini ikiwa ninyi hamna nidhamu ambayo wote wameishiriki, kwa kweli ninyi ni watoto haramu,+ wala si wana.