Kutoka 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Usifanye uzinzi.+ Mambo ya Walawi 20:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “‘Sasa mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine ni mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake.+ Lazima auawe, mwanamume huyo mzinzi na vilevile mwanamke huyo mzinzi.+ Yohana 8:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Ninyi mnafanya kazi za baba yenu.” Wakamwambia: “Sisi hatukuzaliwa kutokana na uasherati; tuna Baba mmoja,+ Mungu.” Waebrania 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ikiwa ninyi hamna nidhamu ambayo wote wameishiriki, kwa kweli ninyi ni watoto haramu,+ wala si wana.
10 “‘Sasa mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwanamume mwingine ni mwanamume anayefanya uzinzi na mke wa mwenzake.+ Lazima auawe, mwanamume huyo mzinzi na vilevile mwanamke huyo mzinzi.+
41 Ninyi mnafanya kazi za baba yenu.” Wakamwambia: “Sisi hatukuzaliwa kutokana na uasherati; tuna Baba mmoja,+ Mungu.”
8 Lakini ikiwa ninyi hamna nidhamu ambayo wote wameishiriki, kwa kweli ninyi ni watoto haramu,+ wala si wana.