9 Hakuna yeyote aliye mkubwa zaidi yangu katika nyumba hii, naye hakunizuilia chochote ila wewe, kwa sababu wewe ni mke wake.+ Basi ninawezaje kufanya ubaya huu mkubwa na kwa kweli nimtendee Mungu dhambi?”+
9 Kwa maana sheria zinazosema, “Usifanye uzinzi,+ Usiue,+ Usiibe,+ Usitamani,”+ na amri nyingine yoyote iliyoko, zimejumlishwa katika neno hili, yaani, “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+
18 Ukimbieni uasherati.+ Kila dhambi nyingine ambayo mtu huenda akafanya iko nje ya mwili wake, lakini yeye aliye na mazoea ya kufanya uasherati anautendea dhambi mwili+ wake mwenyewe.