Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 39:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hakuna yeyote aliye mkubwa zaidi yangu katika nyumba hii, naye hakunizuilia chochote ila wewe, kwa sababu wewe ni mke wake.+ Basi ninawezaje kufanya ubaya huu mkubwa na kwa kweli nimtendee Mungu dhambi?”+

  • Kumbukumbu la Torati 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Wala usifanye uzinzi.+

  • Methali 6:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Yeyote anayefanya uzinzi na mwanamke amepungukiwa moyoni;+ yule anayefanya hivyo anaiangamiza nafsi yake mwenyewe.+

  • Mathayo 5:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Ninyi mlisikia kwamba ilisemwa, ‘Usifanye uzinzi.’+

  • Mathayo 5:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Lakini mimi ninawaambia ninyi kwamba kila mtu ambaye anaendelea kumtazama mwanamke+ na kumtamani tayari amefanya uzinzi+ pamoja naye moyoni mwake.+

  • Waroma 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana sheria zinazosema, “Usifanye uzinzi,+ Usiue,+ Usiibe,+ Usitamani,”+ na amri nyingine yoyote iliyoko, zimejumlishwa katika neno hili, yaani, “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+

  • 1 Wakorintho 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ukimbieni uasherati.+ Kila dhambi nyingine ambayo mtu huenda akafanya iko nje ya mwili wake, lakini yeye aliye na mazoea ya kufanya uasherati anautendea dhambi mwili+ wake mwenyewe.

  • Waebrania 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki