Kutoka 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Usifanye uzinzi.+ Kumbukumbu la Torati 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Wala usifanye uzinzi.+ Luka 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Wewe unazijua amri,+ ‘Usifanye uzinzi,+ Usiue,+ Usiibe,+ Usitoe ushahidi wa uwongo,+ Mheshimu baba yako na mama yako.’ ”+ Waroma 13:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana sheria zinazosema, “Usifanye uzinzi,+ Usiue,+ Usiibe,+ Usitamani,”+ na amri nyingine yoyote iliyoko, zimejumlishwa katika neno hili, yaani, “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+
20 Wewe unazijua amri,+ ‘Usifanye uzinzi,+ Usiue,+ Usiibe,+ Usitoe ushahidi wa uwongo,+ Mheshimu baba yako na mama yako.’ ”+
9 Kwa maana sheria zinazosema, “Usifanye uzinzi,+ Usiue,+ Usiibe,+ Usitamani,”+ na amri nyingine yoyote iliyoko, zimejumlishwa katika neno hili, yaani, “Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+