Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Je, Yehova ndiye mnayeendelea kumfanyia hivi,+

      Enyi watu wajinga na ambao hawana hekima?+

      Je, yeye si Baba yenu aliyewazaa,+

      Yeye aliyewafanyiza ninyi na kuwaimarisha?+

  • Isaya 63:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana wewe ni Baba yetu,+ ingawa huenda iwe Abrahamu mwenyewe hakutujua na huenda iwe Israeli mwenyewe asitutambue, wewe, Ee Yehova, ni Baba yetu. Mkombozi wetu wa zamani za kale ni jina lako.+

  • Isaya 64:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na sasa, Ee Yehova, wewe ni Baba yetu.+ Sisi ni udongo,+ nawe ni Mfinyanzi+ wetu; nasi sote ni kazi ya mkono wako.+

  • Malaki 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “ ‘Mwana humheshimu baba;+ na mtumishi humheshimu bwana-mkuu wake.+ Basi ikiwa mimi ni baba,+ iko wapi heshima yangu?+ Na ikiwa mimi ni Bwana-Mkuu, uko wapi woga+ kwa ajili yangu?’ Yehova wa majeshi amewaambia ninyi, enyi makuhani mnaolidharau jina langu.+

      “ ‘Nanyi mmesema: “Tumelidharau jina lako kwa njia gani?” ’

  • Malaki 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Je, sisi sote hatuna baba mmoja?+ Je, sisi hatukuumbwa na Mungu mmoja?+ Kwa nini basi tunatendeana kwa hila,+ katika kutia unajisi agano la mababu zetu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki