Kutoka 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nawe utamwambia Farao, ‘Hivi ndivyo Yehova amesema: “Israeli ni mwanangu, mzaliwa wangu wa kwanza.+ Kumbukumbu la Torati 32:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Je, Yehova ndiye mnayeendelea kumfanyia hivi,+Enyi watu wajinga na ambao hawana hekima?+Je, yeye si Baba yenu aliyewazaa,+Yeye aliyewafanyiza ninyi na kuwaimarisha?+ Yeremia 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nami mwenyewe nimesema, ‘Lo! jinsi nilivyokuweka kati ya wana na kukupa nchi yenye kutamanika,+ fungu la urithi la pambo la majeshi ya mataifa!’ Nami nikasema tena, Ninyi mtaniita ‘ “Baba yangu!”+ nanyi hamtarudi mwache kunifuata.’
22 Nawe utamwambia Farao, ‘Hivi ndivyo Yehova amesema: “Israeli ni mwanangu, mzaliwa wangu wa kwanza.+
6 Je, Yehova ndiye mnayeendelea kumfanyia hivi,+Enyi watu wajinga na ambao hawana hekima?+Je, yeye si Baba yenu aliyewazaa,+Yeye aliyewafanyiza ninyi na kuwaimarisha?+
19 Nami mwenyewe nimesema, ‘Lo! jinsi nilivyokuweka kati ya wana na kukupa nchi yenye kutamanika,+ fungu la urithi la pambo la majeshi ya mataifa!’ Nami nikasema tena, Ninyi mtaniita ‘ “Baba yangu!”+ nanyi hamtarudi mwache kunifuata.’