18 Nami, naam mimi, nikachukia kazi yangu yote iliyo ngumu ambayo niliifanya kwa bidii chini ya jua,+ ambayo ningemwachia mtu ambaye angekuja baada yangu.+
8 Nami nitakatilia mbali mkaaji kutoka Ashdodi,+ na anayeshika fimbo ya enzi kutoka Ashkeloni;+ nami nitageuza mkono wangu+ juu ya Ekroni,+ na mabaki ya Wafilisti yataangamia,”+ Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema.’