Kutoka 20:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Usiue.+ 1 Mambo ya Nyakati 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Sauli akafa kwa sababu alikosa uaminifu kwa kutenda bila imani+ juu ya Yehova kuhusu lile neno la Yehova ambalo hakuwa ameshika na pia kwa sababu ya kuuliza kutoka kwa mwenye kuwasiliana na pepo.+ Mathayo 27:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi akatupa vile vipande vya fedha hekaluni akaondoka, akaenda zake akajinyonga.+
13 Basi Sauli akafa kwa sababu alikosa uaminifu kwa kutenda bila imani+ juu ya Yehova kuhusu lile neno la Yehova ambalo hakuwa ameshika na pia kwa sababu ya kuuliza kutoka kwa mwenye kuwasiliana na pepo.+