Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yeyote anayemwaga damu ya mwanadamu, damu yake nayo itamwagwa na mwanadamu,+ kwa maana kwa mfano wa Mungu alimfanya mwanadamu.

  • Kumbukumbu la Torati 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Usiue.+

  • Yakobo 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana yeye aliyesema: “Usifanye uzinzi,”+ alisema pia: “Usiue.”+ Basi, ikiwa hufanyi uzinzi lakini unaua, umekosa juu ya sheria.

  • 1 Yohana 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kila mtu anayemchukia+ ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji+ aliye na uzima wa milele ukikaa ndani yake.+

  • Ufunuo 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini kwa habari ya waoga na wale wasio na imani+ na wale wenye kuchukiza katika uchafu+ wao na wauaji+ na waasherati+ na wale wanaozoea kuwasiliana na pepo na waabudu-sanamu+ na waongo+ wote, fungu lao litakuwa ndani ya lile ziwa linalowaka moto+ na kiberiti.+ Hili linamaanisha kifo cha pili.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki