-
Yakobo 2:11Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
11 Kwa maana yeye aliyesema: “Lazima usifanye uzinzi,” alisema pia: “Lazima usiue kimakusudi.” Sasa, ikiwa wewe hufanyi uzinzi lakini waua kimakusudi, umekuwa mkiukaji-sheria.
-