1 Samweli 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na pigano likawa kali juu ya Sauli, na mwishowe wapiga-mishale, wapiga-upinde, wakampata, na hao wapiga-mishale wakamuumiza vibaya.+ 1 Mambo ya Nyakati 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na pigano likawa kali juu ya Sauli; na mwishowe wanaopiga mishale kwa kutumia upinde wakampata, na hao wapiga-mishale wakamuumiza.+
3 Na pigano likawa kali juu ya Sauli, na mwishowe wapiga-mishale, wapiga-upinde, wakampata, na hao wapiga-mishale wakamuumiza vibaya.+
3 Na pigano likawa kali juu ya Sauli; na mwishowe wanaopiga mishale kwa kutumia upinde wakampata, na hao wapiga-mishale wakamuumiza.+