1 Samweli 31:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi Wafilisti walikuwa wakipigana na Israeli,+ na watu wa Israeli wakaanza kukimbia kutoka mbele ya Wafilisti, nao wakaendelea kuanguka, wakiwa wameuawa+ katika Mlima Gilboa.+
31 Basi Wafilisti walikuwa wakipigana na Israeli,+ na watu wa Israeli wakaanza kukimbia kutoka mbele ya Wafilisti, nao wakaendelea kuanguka, wakiwa wameuawa+ katika Mlima Gilboa.+