Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 20:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na tazama! nitamtuma mtumishi, nikisema, ‘Nenda, tafuta ile mishale.’ Nikimwambia mtumishi waziwazi hivi, ‘Tazama! Mishale iko upande huu wako, ichukue,’ ndipo uje, kwa maana hilo linamaanisha amani kwako, wala hakuna jambo, kama Yehova anavyoishi.+

  • 1 Samweli 25:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Basi sasa, bwana wangu, kama anavyoishi Yehova+ na kama inavyoishi nafsi yako,+ Yehova amekuzuia+ usiingie katika hatia ya damu+ na kufanya mkono wako mwenyewe ukuokoe.+ Basi sasa adui zako na wale wanaotafuta kumdhuru bwana wangu na wawe kama Nabali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki