26 Na sasa, bwana wangu, kwa hakika kama Yehova anavyoishi na kama wewe unavyoishi, Yehova ndiye amekuzuia+ usiwe na hatia ya damu+ na usilipize kisasi* kwa mkono wako mwenyewe. Maadui wako na wale wanaotaka kukudhuru bwana wangu na wawe kama Nabali.