Zaburi 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Amechimbua shimo, naye akalichimba;+Lakini ataanguka katika shimo alilolifanyiza.+ Zaburi 57:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wametayarisha wavu kwa ajili ya hatua zangu;+Nafsi yangu imeinama chini.+Wamechimba mtego wa shimo mbele yangu;Wameanguka ndani yake.+ Sela. Methali 28:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Anayewapoteza wanyoofu+ waingie katika njia mbaya ataanguka katika shimo lake mwenyewe,+ lakini wasio na kosa watapata mema.+
6 Wametayarisha wavu kwa ajili ya hatua zangu;+Nafsi yangu imeinama chini.+Wamechimba mtego wa shimo mbele yangu;Wameanguka ndani yake.+ Sela.
10 Anayewapoteza wanyoofu+ waingie katika njia mbaya ataanguka katika shimo lake mwenyewe,+ lakini wasio na kosa watapata mema.+