Kumbukumbu la Torati 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Na itatukia kwamba, kwa sababu mnaendelea kusikiliza maamuzi haya ya hukumu na kuyashika na kuyatekeleza,+ Yehova Mungu wako atakutimizia lile agano+ na fadhili zenye upendo ambazo aliwaapia mababu zako.+ Zaburi 37:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Bali wapole wataimiliki dunia,+Nao watapata furaha yao tele katika wingi wa amani.+ Zaburi 37:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova anazijua siku za watu wasio na kosa,+Nao urithi wao wenyewe utaendelea mpaka wakati usio na kipimo.+ Zaburi 37:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+ Zaburi 84:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+Yeye hutoa kibali na utukufu.+Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+ Methali 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika nyumba ya mwadilifu mna akiba nyingi,+ lakini katika mazao ya mwovu mna taabu.+
12 “Na itatukia kwamba, kwa sababu mnaendelea kusikiliza maamuzi haya ya hukumu na kuyashika na kuyatekeleza,+ Yehova Mungu wako atakutimizia lile agano+ na fadhili zenye upendo ambazo aliwaapia mababu zako.+
18 Yehova anazijua siku za watu wasio na kosa,+Nao urithi wao wenyewe utaendelea mpaka wakati usio na kipimo.+
37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+
11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+Yeye hutoa kibali na utukufu.+Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+