Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na itatukia kwamba, kwa sababu mnaendelea kusikiliza maamuzi haya ya hukumu na kuyashika na kuyatekeleza,+ Yehova Mungu wako atakutimizia lile agano+ na fadhili zenye upendo ambazo aliwaapia mababu zako.+

  • Zaburi 37:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Bali wapole wataimiliki dunia,+

      Nao watapata furaha yao tele katika wingi wa amani.+

  • Zaburi 37:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova anazijua siku za watu wasio na kosa,+

      Nao urithi wao wenyewe utaendelea mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Zaburi 37:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+

      Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+

  • Zaburi 84:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+

      Yeye hutoa kibali na utukufu.+

      Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+

  • Methali 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika nyumba ya mwadilifu mna akiba nyingi,+ lakini katika mazao ya mwovu mna taabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki