Zaburi 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Amechimbua shimo, naye akalichimba;+Lakini ataanguka katika shimo alilolifanyiza.+ Methali 26:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Anayechimba shimo ataanguka ndani yake,+ naye anayeviringisha jiwe—litarudi kwake.+ Mhubiri 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Anayechimba shimo yeye mwenyewe ataanguka ndani yake;+ naye anayebomoa ukuta wa mawe ataumwa na nyoka.+ Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+
8 Anayechimba shimo yeye mwenyewe ataanguka ndani yake;+ naye anayebomoa ukuta wa mawe ataumwa na nyoka.+