Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 38:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mbaya machoni pa Yehova;+ kwa hiyo Yehova akamuua.+

  • Mwanzo 38:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sasa jambo alilofanya lilikuwa baya machoni pa Yehova;+ kwa hiyo akamuua yeye pia.+

  • 2 Samweli 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndipo hasira+ ya Yehova ikamwakia Uza, na Mungu wa kweli akampiga+ hapo kwa sababu ya hilo tendo lisilo la heshima kwa Mungu, naye akafa hapo karibu na lile sanduku la Mungu wa kweli.+

  • 2 Wafalme 19:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na ikawa kwamba usiku huo malaika wa Yehova alitoka, akapiga na kuwaua watu 185,000 katika kambi+ ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, tazama, wote walikuwa mizoga iliyokufa.+

  • Matendo 12:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Papo hapo malaika wa Yehova akampiga,+ kwa sababu hakumpa Mungu utukufu;+ naye akaliwa na wadudu akakata pumzi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki