Mambo ya Walawi 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo moto ukatoka mbele za Yehova na kuwateketeza,+ hivi kwamba wakafa mbele za Yehova.+ 1 Samweli 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akawapiga watu wa Beth-shemeshi,+ kwa maana walikuwa wamelitazama sanduku la Yehova. Basi kati ya watu akapiga na kuua watu 70—watu 50,000—kisha watu wakaanza kuomboleza kwa sababu Yehova alikuwa amewapiga watu hao kwa mauaji makubwa.+
19 Naye akawapiga watu wa Beth-shemeshi,+ kwa maana walikuwa wamelitazama sanduku la Yehova. Basi kati ya watu akapiga na kuua watu 70—watu 50,000—kisha watu wakaanza kuomboleza kwa sababu Yehova alikuwa amewapiga watu hao kwa mauaji makubwa.+