Mambo ya Walawi 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Nao watashika wajibu wao kwangu, wasije wakachukua dhambi kwa sababu yake nao wakafa+ kwa sababu yake kwa sababu walikuwa wakivitia unajisi. Mimi ni Yehova ninayewatakasa wao. Hesabu 26:61 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 61 Lakini Nadabu na Abihu walikufa kwa sababu ya kutoa moto haramu mbele za Yehova.+
9 “‘Nao watashika wajibu wao kwangu, wasije wakachukua dhambi kwa sababu yake nao wakafa+ kwa sababu yake kwa sababu walikuwa wakivitia unajisi. Mimi ni Yehova ninayewatakasa wao.