Mambo ya Walawi 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo moto ukatoka mbele za Yehova na kuwateketeza,+ hivi kwamba wakafa mbele za Yehova.+ Hesabu 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata hivyo, Nadabu na Abihu walikufa mbele za Yehova walipotoa moto haramu+ mbele za Yehova katika nyika ya Sinai; nao hawakuwa na wana wowote. Lakini Eleazari+ na Ithamari+ waliendelea kutumikia wakiwa makuhani pamoja na Haruni baba yao. 1 Mambo ya Nyakati 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hata hivyo, Nadabu na Abihu+ walikufa kabla ya baba yao,+ nao hawakuwa na wana wowote, bali Eleazari+ na Ithamari wakaendelea kuwa makuhani.
4 Hata hivyo, Nadabu na Abihu walikufa mbele za Yehova walipotoa moto haramu+ mbele za Yehova katika nyika ya Sinai; nao hawakuwa na wana wowote. Lakini Eleazari+ na Ithamari+ waliendelea kutumikia wakiwa makuhani pamoja na Haruni baba yao.
2 Hata hivyo, Nadabu na Abihu+ walikufa kabla ya baba yao,+ nao hawakuwa na wana wowote, bali Eleazari+ na Ithamari wakaendelea kuwa makuhani.